Wednesday 26 March 2014


MAASAI CULTURE WAS STILL UNIQUE IN THE WORLD,REALLY THEY LOOK SMART.

ORS FM - MANYARA STUDIOS.


DURING STUDIO SESSION,BE CAREFUL TO LISTEN YOUR AUDIENCES OR BACKGROUND MUSICS.
Up & Down Picture;BARAKA OLE MAIKA IN LIVE RADIO PROGRAME AT ORKONEREI FM STUDIOS.
MAASAI GOSPEL SINGERS,AGUSTINO LAIZER & NAIPASOI TUTUMA DURING LIVE INTERVIEW WITH ORKONEREI FM RADIO SERVICE PRESENTER BARAKA OLE MAIKA.

Wednesday 19 March 2014

UHURU WA VYOMBO VYA HABARI TANZANIA.


Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini Tanzania bado ni Utata mtupu kutokana na Urasimu wa Sera na Ukiritimba uliopo katika Utoaji na upashanaji wa Habari.

Ijapokuwa Tanzania imeridhia na Inatambua Mikataba mbalimbali ya Kimataifa juu ya Haki na Uhuru wa Vyombo vya Habari lakini bado inasuasua katika utoaji wa Uhuru huo kwa kile kinachodaiwa kuwa wahusika wanalinda Masilahi yao Binafsi au ya wale walio Viongozi au Wakubwa wao.

Katika kuthibitisha kuwa Tanzania Imeridhia Mikataba ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari inaungana na Jamii ya Kimataifa kila Mwaka Kuadhimisha siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari May’3 ikiwa ni Pamoja na Viongozi wa Serikali,Vyama,NGO’s,Mabalozi na Taasisi mbalimbali za Kitaifa na Kimataifa kuungana na Vyombo vya Habari katika Maadhimisho hayo.

Katika Maadhimisho hayo Vyombo vya Habari huungana Pamoja na Kubainisha Changamoto wanazokutana nazo katika Utendaji wao wa Kila siku mbele ya Jamii na Taifa kwa ujumla.

Waandishi wa Habari Nchini Tanzania pamoja na Kuwa kiungo muhimu sana kati ya Serikali na Wananchi bado hawathaminiwi wala kupewa nafasi stahiki katika kuwawezesha kuandika na kuripotisha Habari kwa wakati na kwa muda wa Muafaka.

Matukio Mbali mbali ya Unyanyasaji na Udhalilishaji wa waandishi wa Habari wakiwa Kazini yameripotiwa na Vyombo vya Habari ikiwa ni Pamoja na Tukio ambalo halitasahaulika katika Tasnia ya Habari la Kuuawa kwa Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Television ya Channel Ten Mkoani Iringa NdgDaudi Mwangozi 2012.

Tukio lingine litakalokumbukwa na Vyombo vya Habari Nchini Tanzania ni la Kutekwa,Kupigwa na Kujeruhiwa Vibaya kwa Mwenyekiti wa Jukwaa laWahariri wa Vyombo vya Habari Bw Absalom Kibanda March 5’2013 hali iliyompelekea Kulazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na baadaye kupelekwa Afrika ya kusini kwa Matibabu zaidi.


Haya  ni Miongoni mwa Matukio yaliyojitokeza na katika tasinia ya Habari nchini Tanzania ikiwa Sanjari na Matukio Mengine yaliyojiri yakiwa na Lengo la kuziba Midomo Vyombo vya Habari Nchini Tanzania pasipo kujali wala kukumbuka kuwa Kuwanyima Vyombo vya Habari Uhuru ni Kuwanyima Haki ya Kikatiba Watanzania kwa Mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Said Kubenea (Picha kwa Hisani ya Mwanahalisi Publishers).
Matukio mengine ya kutisha dhidi ya Waandishi wa Habari Nchini Tanzania ni lile la Kumwagiwa Tindikali Mwandishi wa Gazeti la Mwanahalisi ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mwana Halisi Bw Said Kubenea na Baadaye Gazeti hilo kufungiwa na Serikali kwa kile kilichodaiwa kuwa limeandika Habari za Kichochezi.


Pamoja na Gazeti la Mwana Halisi kufungiwa hali hiyo pia imekumba Gazeti la Mwananchi lililofungiwa siku 14 na Mtanzania lilifungiwa Siku 90.

Hatua ya Serikali Kufungia na Kunyima Uhuru Vyombo vya Habari ni Changamoto kubwa sana kwa Vyombo vya Habari Nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na kutotolewa kwa Taarifa juu ya Hatua zilizochukuliwa na Serikali dhidi ya wale wote waliotuhumiwa kuhusika Kumuuwa Mwangosi,Kuwateka,Kuwapiga na Kuwajeruhi Waandishi wa Habari.

Watanzania hasa wale wa Vijiji wanategemea Vyombo vya Habari hasa Radio katika Upataji wa Habari Mbali mbali za Kitaifa na hata za Kimataifa kwani Radio ni Chombo cha Gharama ya Chini kidogo ukilinganisha na Tv au Gazeti,hivyo kunyima vyombo vya Habari Uhuru na hata kuwanyima nafasi ya kuripoti Matukio muhimu kwa Jamii ni Kuwaumiza Wananchi.

Bunge la Maalum la Katiba lilipoanza Vikao vyake Februari 18’2014 Mjini Dodoma,Waandishi wa Habari walinyimwa fursa ya kuripoti Taarifa za Bunge hilo ingawa Watanzania wa Mijini na Vijijini walikuwa na hamu ya kufahamu nini kinafanyika Bungeni na nini hatma yao kuelekea kupata Katiba Mpya.

Pamoja na Kutambua kuwa ni Haki ya watanzania kuhabarishwa Kamati ya Bunge Maalum imepitisha Kanuni ya kanuni ya kuwazuia waandishi wa habari kuingia katika vikao vya kamati za chombo hicho, hatua ambayo ni kinyume na Katiba inayotoa uhuru wa wananchi kupata habari.

Pamoja na  Waandishi wa Habari kukutana na Vikwazo,Manyanyaso,Udhalilishaji na Hata baadhi Kuumizwa bado hawajakata Tamaa wala Kurudi nyuma kuwasemea Watanzania walio Wanyonge wasio na Sauti na Wale wa Tabaka la chini.

Udhibiti wa Habari pia bado ni Changamoto inayojitokeza kwa Baadhi ya Vyombo vya Habari hasa katika Eneo la Utamaduni,Mila,Lugha,Jinsia,Watoto na Jamii za Pembezoni(Wafugaji,Wawindaji na Waokota Matunda) kwani kumekuwepo na hali ya Kuandika na Kuripoti Habari za Mijini zaidi kuliko Vijijini ingawa Matukio mengi yanatokea maeneo hayo.

Habari za Maeneo ya Vijijini zimekuwa zikiandikwa na kuripotiwa tu pale inapotokea Ziara ya Viongozi wa ngazi ya Juu Serikalini,Mf;Rais,Makamu wa Rais,Waziri Mkuu au Waziri anapotembelea eneo hilo.

Upatikanaji wa Habari kwa Vyombo vya Habari bado nayo ni Changamoto kutokana na Urasimu uliopo katika baadhi ya Vyanzo vya Habari,Mf;Taasisi za Serikali,NGO’s,Mashirika ya Umma,etc hali inayodumaza Uwazi na Uwajibikaji Nchini Tanzania.

Pamoja na Vyombo vya Habari Nchini Tanzania Kukosa Uhuru kamili wanakabaliwa pia na Ukosefu wa Raslimali na Ujuzi katika Utendaji  wao wa kila siku jambo linalopelekea kutoandika au kuripoti taarifa kwa wakati huku tasnia ya Habari ikivamiwa na wasiokuwa na Wito wa Taaluma hiyo ya Habari(Makanjanja).

Umiliki wa Vyombo vya Habari Nchini Tanzania umeendelea kuimarika na kukua siku baada ya siku kwa Serikali kutoa Leseni na Fursa ya Uanzishwa wa Vyombo vya Habari TV,Radio na Magazeti kwa Watu Binafsi,Mashirika ya Kiserikali na Binafsi,Vyama vya siasa,Taasisi za Dini na Mashirika ya Kimataifa ijapokuwa Vyombo hivyo vinakandamizwa katika kupewa nafasi ya Kuhabarisha Umma wa Watanzania.
Uanzishwaji wa Vyombo vya Habari pia imeleta Changamoto ya Vyombo hivyo kutumika kupigana Vijembe na kuleta Uhasama ndani ya Jamii kwa wale wanaotumia vyombo hivyo kwa maslahi yao Binafsi na shughuli wanazofanya,Mf;Mvutano uliotokea baina ya Rostam Aziz na Reginal mengi.

Ukosefu wa Mishahara ya Kutosha na Marupurupu mengine ni tatizo kubwa katika Tasnia ya Habari Nchini Tanzania hasa kwa Vyombo vya Habari vya binafsi hali inayopelekea baadhi ya Waandishi wa Habari kujiingiza katika Vitendo Haramu ikiwa ni pamoja na kupokea Rushwa tofauti na Nchi Jirani ya Kenya ambayo Waandishi wa Habari wanalipwa Vizuri.
 



 

Tuesday 18 March 2014

OUR TRAINING SECOND DAY

By;
Baraka David Ole Maika.

In our Training Second Day we had began with what we have done on First day of Training as It Posted to each Participant Blog.

The session of Our Training Second day has began for Participant Searching different Information through Internet like;
  • The president of Sweden.
  • Ukraine Presedent.
  • Top Goal Scorer in UEFA Champions League.
  • How High of Mt Evarest.
  • Highest Peak in Europe,etc.
Nothing I dislike

I am so Interested in differents option to find past News or Information through Internet,that is Just by using story or Information idea,eg;Kikwete Elephants,Uhuru wa vyombo vya Habari,etc.

The Research Assignment I did is so usefully and so helpfully as it open my mind to search information in deep about Lupita Peter Nyong'o.

I plan to be more good in Research and In My Stories as well as I study and known more ways of getting deep Information through Internet.




MSHINDI WA TUZO YA LUPITA NYONG'O



The Picture from Google images.

Lupita Nyong'o is one of Kenya Film Artists who started acting along with other artists under (Underground) in local and wide Deut. in Nairobi .

Lupita Nyong'o was born Date 03/01/1983 Mexico City In Mexico, although his father is a citizen and politician Celebrity has held various positions in the Government of Kenya as Minister of Health, the birth of Lupita In Mexico when his parents Dorothy and Peter Nyong'o is a citizen is given the opportunity to be a citizen of two countries Kenya and Mexico.


After his graduation her
Bachelor's degree in film and theatre studies from the Hampshire College, Lupita and began to engage in the work of filmmakers as Assistant Manufacturer in several Hollywood films U.S.

Lupita Nyong'o began the work of an actor in 2008 when he emerged in a short film called East River, and in 2009 he would also be present at the game of Tv of Shuga was shown at Kenyan Tv (KBC) and the same year of 2009 he played and repair films marked as In My Genes .


In addition Lupita Nyong'o inspired by some great success of the film , writing and as a Manufacturer Creating Helper including film The Gardener Constant 2005, The Namesake 2006, Where God Left His Shoes 2009, In My Genes and The Little Things You do 2009.


The success of Lupita in Film Industry In 2013 he became known to star forming film 12 Years a Slave that focus slave life in community with Lupita plays the protagonist who becomes a slave of Love. Film 12 Years a Slave had Identify  Lupita Nyong'o Peter more world after emerging winner of the Oscar Awards 2014.


Despite the Great Victory Lupita also quite different Awards in the past days by an actor, creative and styles including the Prize of African- American Film Critics Association Award 2003.2004 - 2012, Alliance of Women Film Journalists 2013, the Austin Film Critics Association 2013 BAFTA Award 2013, Broadcast Film Critics Association 2013, the Central Ohio Film Critics Association 2013, Chicago Film Critics Association 2013, Washington DC Area Film Critics Association in 2013 and the Academy Award 2014.


Prepared by Baraka Ole Maika,

With aid of various Networks.






Monday 17 March 2014

OUR FIRST DAY.

On our Training First day we began with Introduction for each one of Participants Introducing him/herself where he or she from and Mention his or her expectations in this Training.

Also in Our First day we had learn Investigative Journalism and Investigative Internet Journalism,Journalistic Research via Internet,The needs of Investigative Journalism and How to search different issues by using Internet,Eg;Iringa Town Population,A street adress of Embassy of Finland in Tanzania,etc.

I like the way we share our Experience with other participants and how they like to have their Blogs and nothing I dislike for the first day.

I learn how to Create Blog and make It usefully.

Concrete examples are;1.CHADEMA party Conflict in Arusha,2.Traffic(Dala dala) Jam in Arusha City,3.Lack of Infrastructure(Roads) during rain season in Rural areas.




 


My Name is Baraka David Ole Maika,I am working with Orkonerei Fm Radio Service at Simanjiro-Manyara as a Radio Presenter and Journalist.

I will be at Arusha this week for three days to attend Radio Training of how to Use ICT's or Social Media in Radio and Practice More Investigative fact-finding Procedures, to produce and develop Journalistic Stories based on Research and Resources through Internet.Our Training is held at Summit Centre-Arusha and the participants are from different Medias(Radios and Newspapers) such as ORS Fm,Tripple A,Sunrise Radio,Radio 5,Loliondo Fm,Arusha Times,Arusha Journalism Train.College(A.J.T.C),Arusha East African Train.Institute(A.E.A.T.I),Inter Press Service,MJ Fm,Habari Maalum College,Tanzania Daima,Mwananchi and Radio Uhuru..

In this Training my Expectation are:
  • To get more skills in how to use Internet in Radio issues and share with my Radio colleagues.
  • To differentiate Investigative Journalist and Investigative Internet Journalist.
  • To share Experience,Skills and Ideas with other Medias.